JAMANI WEMA SEPETU, WOLPER, LULU KWA NINI MMEPONZA MSANII HUYU??…ABAMBWA LIVE AKIFANYA MADUDU MAKABURINI!

Admin Updates10 years ago59 Views

Fatuma Ayubu ‘Fetty’ akiandaa mazingira.
…Akiendelea kuandaa.Kwa
mujibu wa shuhuda wetu, tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita kwenye
Makaburi ya Ufi yaliyopo maeneo ya Ubungo-Kisiwani jijini Dar, mishale
ya saa nne usiku.
Ulozi!
Chipukizi sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Fetty’ amenaswa makaburini
akiwanga katika kile kinachodaiwa kuwa ni kutekeleza masharti ya
‘sangoma’ ili ajipatie umaarufu na kuwafikia mastaa kama Wema Isaac
Sepetu, Jacqueline Wolper Massawe na Elizabeth Michael ‘Lulu’
…Akivunja nazi kaburini.
…Akiendelea kufanya yake.
Vipande vya nazi vikiwa kaburini baada ya kuvunjwa na Chipukizi sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Fetty’.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...