Mashabiki Zaidi ya Milioni 30 Wamtaka Mbappe Kuondoka Real Madrid

Masama BlogMICHEZOKIMATAIFAMATUKIO24 minutes ago5 Views

Zaidi ya Mashabiki Milioni 30 wa Real Madrid wamesaini ombi la kumtaka Kylian Mbappé aondoke katika klabu hiyo kutokana na kukosa matokeo na kutofanya vizuri nje ya Uwanja.

Siku mbili zilizopita, ombi lilizinduliwa kwa Mashabiki wa Real Madrid kusaini ombi la kutaka Kylian Mbappé aondoke katika klabu hiyo.

Ombi hilo awali liliwekwa kwa lengo la saini 200, lakini kwa siku moja tu, saini Milioni 18 zilikusanywa, na ndani ya saa 48, saini Milioni 30 zilipatikana.

Mchezaji huyo anatuhumiwa na Wachezaji wenzake kuwa ni msaliti jambo ambalo linaleta mgawanyiko miongoni mwa wachezaji wa Real Madrid hasa kikosini.

Mbappe, ambaye alijiunga na klabu hiyo ya Uhispania Juni 2024 akitokea Paris Saint-Germain, alitia saini Mkataba utakaomweka hadi 2029.

Leave a reply

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.