Ibrahim Shayo (Ibra Line),Juma Raibu,Priscus Tarimo na wengine wachukua fomu za Ubunge Moshi Mjini.

Masama BlogKITAIFASIASAMATUKIO6 months ago439 Views

Ibrahim Shayo (Ibra Line), alikuwa wa kwanza kufungua pazia la uchukuaji fomu ya kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kupitia CCM Juni, 28 mwaka huu.

Ikumbukwe Licha ya Ibra Line, mwaka 2020 kuongoza kura za maoni Jimbo la Moshi Mjini, mshindi wa pili,ambaye ni Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Priscus Tarimo, naye ni mfanyabiashara wa hoteli, wamechukua fomu hiyo.

Juma Raibu, akichukua fomu.

Alifuatiwa na Juma Raibu Meya wa Zamani wa Manispaa ya Moshi.Juma, ambaye ni Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi na Izaack, walifuatana kuchukua fomu hiyo ya kuomba nafasi ya uongozi katika vyombo vya dola, walipotinga Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kichama ya Moshi Mjini, leo Juni 30, 2025.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.