
Ibrahim Shayo (Ibra Line), alikuwa wa kwanza kufungua pazia la uchukuaji fomu ya kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kupitia CCM Juni, 28 mwaka huu.

Ikumbukwe Licha ya Ibra Line, mwaka 2020 kuongoza kura za maoni Jimbo la Moshi Mjini, mshindi wa pili,ambaye ni Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Priscus Tarimo, naye ni mfanyabiashara wa hoteli, wamechukua fomu hiyo.

Alifuatiwa na Juma Raibu Meya wa Zamani wa Manispaa ya Moshi.Juma, ambaye ni Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi na Izaack, walifuatana kuchukua fomu hiyo ya kuomba nafasi ya uongozi katika vyombo vya dola, walipotinga Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kichama ya Moshi Mjini, leo Juni 30, 2025.







