Kichwa cha James Temba Chapatikana

Masama BlogMATUKIOKITAIFA1 hour ago6 Views

Hatimaye Kichwa cha James Temba Chapatikana Kitunda

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limefanikiwa kupata kichwa cha aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), James Temba, ambaye mwili wake ulipatikana katika Mto Msimbazi mnamo Aprili 30, 2026.

Akizungumza na Vyombo vya Habari, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, amesema kichwa kilikutwa kikiwa kimefukiwa katika eneo la Kibeberu, Kitunda Wilaya ya Ilala Jijini Dar es salaam

Kamanda Muliro amesema kuwa hadi sasa Jeshi la Polisi linawashikilia watu watano kuhusiana na tukio hilo, akiwemo mganga wa kienyeji, huku uchunguzi ukiendelea kubaini chanzo halisi cha mauaji hayo ambapo ameongeza kuwa tukio hilo linaweza kuhusishwa na mambo mbalimbali ikiwemo imani za kishirikina pamoja na masuala ya kimapenz

Leave a reply

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.