ANGALIA PICHA ZA MSANII ROSE NDAUKA AKISHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE..NI KUFURUU,ONA HAPAA LIVE

Admin Updates11 years ago69 Views

Usiku
wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa furaha kwa staa wa Filamu Bongo,
Rose Ndauka, kwani aliweza kusheherekea siku yake ya kuzaliwa na baadhi
ya mastaa wenzake waliyofurika ndani ya Hoteli ya Collossium iliyopo
maeneo ya Kamata Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.



Rose
Ndauka (kushoto), akimlisha kipande cha keki rafiki yake mpendwa Jack
Pentzel, muda mfupi baada ya zoezi la kulishana keki kuanza kwenye
sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya
Ukumbi wa Collosseum Hoteli Kamata Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.

Rose Ndauka na baadhi ya waarikwa wakigonga chairs mara baada ya kufungua shampeni iliyokuwa imeandaliwa kwenye sherehe hiyo.
(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...