NCHI za Umoja wa Ulaya zimeahidi kuendelea kusimama pamoja wakati wote ili kuwa taasisi yenye nguvu kubwa duniani baada ya kushuhudia miaka mingi ya migawanyiko ya ndani ikitokea.
Haya yameelezwa kwenye mkutano ambao haukuwa rasmi,uliowakutanisha viongozi 27 ambao ni wanachama wa umoja huo waliokutana katika Mji wa Sibiu ,Romania.
Akizungumza katika mkutano huo, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema ulimwengu haulali na kwa hiyo lazima wawe wabunifu, wawe imara na wawe na umoja.
Na kwamba mpango wa Uingereza kujiondoa katika Umoja huo umeigubika jumuiya hiyo kwa zaidi ya miaka miwili, kwa hivyo mkutano wa jana ulikuwa fursa nzuri ya kutoa mwito wa umoja na kusisitiza kuhusu kanuni za misingi za Umoja wa Ulaya.
Uingereza bado kimsingi ni mwanachama wa Umoja wa Ulaya lakini Waziri Mkuu Theresa May hakuhudhuria mkutano huo wa kilele wa Romania na akabaki London kujaribu kuupigia debe mpango wake wa Brexit upitishwe bungeni.
CHANZO DW .
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2VaJ62k
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







