Mwenyekiti wa Tasisi ya Tushikamane Foundation, Rosemary Mwapachu, akizungumza na wadau na Marafiki wa Taasisi hiyo waliofika katika hafla fupi ya kuchangia gharama za Wazee wanaohudumiwa na taasisi hiyo
Jaji Mstaafu Mark Bomani akieleza na kutoa ushuhuda juu ya taasisi hiyo ilivyokuwa msaada kwa wazee na kutaja kuwa kitu wanachokifanya ni kikubwa zaidi kuliko watu wengine
Balozi Juma Mwapachu akimpongeza Mkewe Bi Rose Mwapachu kwa kufanya vizuri katika ujenzi wa nyumba ya Wazee na kufanikisha Harambee kwa ajili ya mahitaji ya wazee hao kwa mwezi
Sehemu ya Washiriki wa Harambee hiyo wakifuatilia kwa makini namna mambo yanavyoenedelea
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2POwGMl
via