Waziri Katambi akutana na Balozi wa China
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amekutana na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, na kufanya mazungumzo kuhusu kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ikiwemo mbinu za kudhibiti uhalifu, matumizi ya teknolojia katika kuimarisha usalama, pamoja na kupambana na uhalifu unaovuka mipaka.

Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Mkuu wa Huduma za Urekebu kutoka Jeshi la Magereza, Kamishna Amina Kavirondo, pamoja na Afisa Kiungo wa China katika Kitengo cha Polisi Kimataifa, Makao Makuu ya Upelelezi, Mrakibu wa Polisi (SP) Damas Nyungula.
Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi Ndogo ya Waziri, jijini Dar es Salaam.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






