Spika Ndugai Ahamasisha Wananchi Kusajili Upya Laini Zao za Simu

Special Correspondent6 years ago55 Views

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi James Kilaba wakiwasili katika vwanja vya Bunge kukagua maendeleo ya zoezi la Usajili Mpya wa Simu kwa kutumia akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu Bunge leo jijini Dodoma. 
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitembelea baadhi ya mabanda ya wadau wa Mawasiliano ya Simu katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akichukuliwa alama ya kidole alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye. 
 Baadhi ya Wabunge na Wafanyakazi wa Bunge wakisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa TTCL walipotembelea Banda la Kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. 

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mbunge wa Iramba Mashariki, Lameck Mwigulu Nchemba(MB), akisajili laini alipotembelea moja ya mabanda ya Kampuni za Simu na Kusajili Laini katika viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma katika zoezi la Usajili Upya wa Laini za Simu kutumia Kitambulisho cha Taifa liloratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikisha Kampuni za simu. Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi na Mawasiliano), Mhandisi Atashasta Nditiye.

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2JbmGMO
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.