Benki Ya Exim Yamtangaza Rasmi Mtendaji Mkuu Mpya

Special Correspondent6 years ago4 Views


Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Exim Tanzania Bw Jaffari Matundu (Kulia) kizungumza na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania anaemaliza muda wake Bw Said Mwema (Kulia) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla hiyo.

Baadhi ya wajumbe ya Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Exim Tanzania wakimpongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo Bw Jaffari Matundu (Kulia) wakati wa hafla maalumu ya kumpongeza Mkurugenzi huyo pamoja na wafanyakazi wengine iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.


Mwenyekiti mstaafu wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Exim Tanzania Bw Yogesh Manek (Kulia) akiwapongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo Bw Jaffari Matundu (katikati) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki hiyo anaemaliza muda wake Bw Said Mwema wakati wa hafla hiyo.
 

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2JrY29Z
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...