ANGALIA PICHA ZA MASTAA WALIOJITOKEZA KWENYE SHEREHE YA KUMUAGA RAIS OBAMA

9 years ago100 Views

Mastaa kibao wikiendi hii walimiminika kwenye ikulu ya white house kwenye sherehe za kuagwa kwa Rais Barack Obama.
Kuliwepo na mastaa wa kila aina, wakongwe, wapya, wanamuziki, waigizaji wa filamu, wana michezo na wengine. Pamoja na kukatazwa kurekodi ama kupiga picha ndani ya ikulu hiyo, baadhi yao hawakuchelea kupiga za kujificha.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria ni pamoja na Paul McCartney, Meryl Streep, Pharrell na Solange, Robert De Niro, Common Usher na wengine.
Wengine ni Wale, John Legend, Bradley Cooper, Magic Johnson, Tom Hanks, Kelly Rowland.
Tazama picha zao:





Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.