WATANZANIA WAISHIO UK WAKUBALI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA RAIS MAGUFULI

7 years ago153 Views

 Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk.AshaRose Migiro mara baada ya kufanya mazungumzo na watanzania wanaokaa na kufanya kazi Uingereza katika fani mbalimbali za afya na biashara. 

Watanzania hao wamekubali kupitia umoja wao kuunga jitihada za  Rais Dk.John Magufuli katika kusaidia upatikanaji wa vifaa muhimu vya kisasa, kuchangia fedha na watalaam wa afya ili kuboresha huduma za afya nchini. 

Watanzania hao wamepongeza jitihada za serikali ya awamu ya tano katika ujenzi na uboreshaji wa huduma za afya mijini na vijijini ambapo serikali imekuwa ikijenga Hospitali, vituo vya afya na Zahanati katika kila Kata.
 Mbunge wa Busega, Dk. Raphael Chegeni akizungumza na Baadhi ya maofisa wa Ubolozi wa Tanzania nchini Uingereza. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk.AshaRose Migiro.
Picha ya pamoja 

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2IXQLzj
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.