
![]() |
| Anti Lulu na Mr Bond Enzi za Mapenzi yao |
Bondi alisema kitu kikubwa anachokifanya Aunty Lulu ni kubadilisha
wanaume ndiyo sababu ya kushindwa kuendelea na kazi yake ya utangazaji
na filamu, akiishia kudanganya kuwa yeye ni mjasiriamali.
Lakini Aunty Lulu naye alijibu tuhuma hizo akisema mwandani wake huyo wa
zamani atakuwa anatafuta kitu kutoka kwake, kwani kama ni kazi, hata
yeye mwenyewe hana anachokifanya mjini zaidi ya kuuza sura kwani kama
anaringia utangazaji, yeye ndiye alimtafutia kazi hiyo.






