Simba wamchunge huyu mwamba wa kuitwa Poku, ni Aziz Ki mtupu!

2 years ago101 Views

 

Serge Poku ni nyota wa kuchungwa zaidi katika Kikosi cha ASEC Mimosas akicheza nafasi ya kiungo mshambuliaji.

Poku mwenye umri wa miaka 23 msimu huu amepania kufanya makubwa ili aweze kutengeneza pesa nyingi Kwa kupata marisho Bora zaidi nje ya ASEC Mimosas iwe hapa hapa Afrika ama Ulaya.

Poku ndiye mtambo wa mabao ndani ya Kikosi cha ASEC ambapo hadi sasa amefunga mabao sita katika mashindano yote akiwa na jezi ya ASEC Mimosas.

Ni kinara wa mabao kwa upande wa ASEC ndani ya Ligi Kuu ya Ivory akiwa na mabao manne, huku CAF Champions akiwa amefunga mabao mawili hadi sasa.

CAFCL ⚽-2 ✔️ IPL ⚽-4 ✔️

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.