Pombe Haramu Yauwa Watu Sita, Watano Wapofuka Macho

2 years ago134 Views

 

Takribani Watu sita wamefariki dunia, huku wengine watano wakidaiwa kupoteza uoni kwa muda, baada ya kudauwa kunywa pombe haramu Katika baa ya California iliyopo Mtaa wa Mwea Magharibi, Kaunti ya Kirinyaga Nchini Kenya.
Mtendaji wa kaunti ya Kirinyaga, George Karoki amesema huenda waathiriwa hao walichanganya dawa ya Ethanol na pombe hiyo kali, ambayo iliyosababisha uoni hafifu na ugonjwa wa ini.
Amesema, mara baada ya tukio hilo, watu hao waliopoteza uoni, walikimbizwa katika Zahanati iliyokuwa karibu ambapo walitibiwa na kuruhusiwa.
Inadaiwa kuwa watu hao waliofariki walifikishwa katika Zahanati, lakini hawakuweza kupata huduma hivyo kukimbizwa katika Hospitali Kuu ya Kerugoya ambapo walifariki baadaye.

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.