Headlines za Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015, ambapo leo Sept 19 wasanii wa filamu walipata mualiko kutoka kwa mgombea mwenza kupitia chama cha Mapinduzi, Samia Suluhu na kuzungumza kuhusu kampeni ya Mama ongea na Mwanao inayosimamiwa na Steve Nyerere
Hizi ni baadhi ya picha za wasanii wa bongo movie walioalikwa nyumbani kwa mgombea mwenza kupitia CCM.
Pichani:Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere ambaye ndie mwenyekiti wa kampeni ya Mama ongea na Mwanao.
Msanii wa Bongo Movie, Batuli.
Pichani:Steve Nyerere na Wema Sepetu wakiwa na mgombea mwenza kupitia chama cha Mapinduzi Samia Suluhu.
.
.
.