BREAKING: RC Albert Chalamila atoa tamko Zito kwa Wafanyabiashara DAR..kuanzia Tarehe 22/2/2025 Mambo yatakuwa hivi

1 year ago205 Views

  

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amesema kuanzia Februari 22, 2025 biashara zitafanyika kwa saa 24 katika mkoa huo.

Akizungumza leo na wahabari Chalamila amesema “katika kuelekea kufungua zaidi mkoa wa Dar Es Salaam tumekubaliana kwamba Dar Es Salaam sasa ianze kufanya kazi kibiashara saa 24 na kwa mantiki hiyo tarehe 22 ya mwezi wa pili ya mwaka 2025 itakuwa ndiyo siku maalum ya kuzindua utaratibu huu”

Chalamila ameongeza kuwa awali utaratibu huo ulipaswa kuanza Februari 08, 2025 lakini imebidi kusogeza mbele kutokana na baadhi ya maeneo hayajawekwa taa.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.