Baada ya Mazungumzo na Rais Samia, Salim Kikeke Avunja Ukimya – Atangaza Rasmi Kuwania Ubunge!

Masama BlogSIASAMATUKIOKIMATAIFAKITAIFA8 months ago424 Views

Naibu Mkurugenzi wa CROWN MEDIA, Ndugu Salim Kikeke ameweka wazi kufanya mazungumzo marefu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amemwambia kuwa anasikia yote yanayoendelea na atayatendea kazi.

“Nimeongea na Bi.Mkubwa kwa simu leo kwa urefu sana akaniambia – Salim mwanangu hii ni off record lakini nasikia kinachosemwa mtandaoni nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja” Ameandika Salim kupitia Insta-Story yake.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.