Naibu waziri wa Nchi OR -TAMISEMI Mhe.Zainab Katimba akifurahia jambo huku akimsikiliza kwa Makini Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde nje ya Bunge walipokuwa wanampongeza Waziri wa Mawasiliano na Tenknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa baada ya wabunge kupitisha makadirio ya Bajeti yake kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 Jijini Dodoma Wiki Iliyopita.

Picha ya pamoja pia ikiwaonyesha Viongozi hawa ambao ni moja ya wachapakazi hodari kwenye Serikali ya Mhe Rais Samia na ni Moja ya Viongozi Makini kupitia tanuru la viongozi la UVCCM.
#UONGOZI UNAOACHA ALAMA
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






