ALIYEKUWA Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kukifundisha kikosi cha APR ya Rwanda
msimu ujao, baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Rwanda kuachana na Mserbia Darko Novic.
.
Gamondi aliyeifundisha Yanga kwa mafanikio, kwa sasa yupo huru baada ya kuachana na Al Nasr ya Libya, ingawa taarifa kutoka Rwanda zinaeleza ni miongoni mwa wanaofuatiliwa kutokana na uwezo alionao.
.
Mbali na Gamondi, makocha wengine ni Miguel Cardoso anayeifundisha Mamelodi Sundowns kwa sasa pamoja na na Nabil Maaloul aliyekuwa USM Alger. APR itakayoshiri- ki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, imechukua ubingwa wa Ligi Kuu Rwanda ikiwa na pointi 67.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






