Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utumishi na Utawala bora wa Zanzibar, Seif Shaban Mwinyi akizungumza wakati akitoa hotuba yake ya kufunga Mkutano Mkuu wa Saba wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), uliomalizika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga akizungumza muda mfupi kabla ya kufungwa kwa Mkutano wao Mkuu wa Mwaka, uliomalizika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha.
Mkufunzi na Mkurugenzi kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC), Charles Magaya akizungumza muda mfupi kabla ya kufungwa kwa Mkutano wao Mkuu wa Mwaka, uliomalizika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2JfV5JB
via