MAUA SAMMA ALIVYOKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE KING SOLOMONI

Special Correspondent6 years ago5 Views

Mwanamziki wa nyimbo za kizazi kipya, Maua Sama akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau kutoka Kampuni ya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kumkaia leo jijini Dar es Salaam.
Wanamitindo kutoka Kampuni ya Shahbaaz wakionyesha mitindo mbalimbali ya matumizi ya nywele wakati wa uzinduzi wa nywele za zambarau(purple) kutoka Kampuniya Darling uliofanyika katika Ukumbiwa King Solomoni Kinondoni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2Jc6KsK
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...