MATUKIO YA PICHA MBALIMBALI KUFUATIA HALI YA MVUA KUNYESHA KATI YA JIJI LA DAR NA MKOA WA PWANI

Special Correspondent6 years ago85 Views

 Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika maeneo mengi hapa jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani kutokana na Mvua  kubwa iliyonyesha jana, ambapo  barabara nyingi za Dar zilijaa maji hali iliyosababisha baadhi ya magari  kuharibika na pia kusabaisa foleni kubwa ya magari,lakini pia inaonesha mitaro mingi ya kupitisha maji machafu kati kati ya jiji imeziba,hali inayochangia pia kutuama kwa maji.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi  Tv)



Limezima anasubiriwa fundi
 Gari likiwa limehariika katikati ya barabara ya Kilwa kata ya Mandege mkoa wa Pwani.
 Kama ionekanavyo pichani hapa wananchi  wakisukuma gari baada ya kukwama kwenye matope kufuatia Mvua zilizoanza kunyesha wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi  Tv)

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2LoM43s
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.