Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika maeneo mengi hapa jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha jana, ambapo barabara nyingi za Dar zilijaa maji hali iliyosababisha baadhi ya magari kuharibika na pia kusabaisa foleni kubwa ya magari,lakini pia inaonesha mitaro mingi ya kupitisha maji machafu kati kati ya jiji imeziba,hali inayochangia pia kutuama kwa maji.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)



Limezima anasubiriwa fundi
Gari likiwa limehariika katikati ya barabara ya Kilwa kata ya Mandege mkoa wa Pwani.
Kama ionekanavyo pichani hapa wananchi wakisukuma gari baada ya kukwama kwenye matope kufuatia Mvua zilizoanza kunyesha wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2LoM43s
via