BUNGE LA AFRIKA KUSHIRIKIANA NA BUNGE LA UMOJA WA FALME ZA KIARABU ( U.AE.)

Special Correspondent6 years ago57 Views

Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika,Mheshimiwa Stephen Masele akipokelewa na mwenyeji wake,Balozi wa UAE,nchini Afrika Kusini Mahash Saeed Alhameli kabla ya kikao cha majadiliano ya ushirikiano baina ya ujumbe wa Bunge la Afrika na ujumbe kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates- UAE) jana Mei 5,2019 jijini Pretoria,Afrika Kusini.
Kushoto ni Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika,Mheshimiwa Stephen Masele akizungumza tete-a-tete na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates- UAE),nchini Afrika Kusini Mahash Saeed Alhameli.
Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika,Mheshimiwa Stephen Masele akiongoza kikao cha majadiliano kuhusu ushirikiano wa bunge la Afrika na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates- UAE) ambapo Ujumbe wa Bunge la UAE umeongozwa na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates- UAE), Dk. Amal Abdulla Al Qubaisi ,kwa pamoja wamekubaliana mambo ya msingi ya kushirikiana baina ya mabunge hayo.
Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika,Mheshimiwa Stephen Masele akiagana na mwenyeji wake,Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates- UAE),nchini Afrika Kusini Mahash Saeed Alhameli.

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2DR1ffI
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...