Kylian Mbappe ‘Ukimshabikia Ronaldo Huwezi Kumjua Messi”

2 years ago107 Views

Mshambuliaji wa Klabu ya PSG, Kylian Mbappe amesema kuwa amekuwa shabiki wa Cristiano Ronaldo tangu akiwa mdogo hivyo kutokana na mapenzi yake kwa staa huyo, hakuwahi kuujua ubora wa Lionel Messi.

Mbappe (24) ambaye ni mchezaji wa Timu ya Taifa ya Ufaransa amekuwa akionyesha mahaba yake kwa Ronaldo wazi wazi lakini hata alipopata wasaa wa kucheza na Messi pale PSG misimu miwili iliyopita, hakuonyesha kumfagilia kabisa jamaa.

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.