KC YASAINI MKATABA WA KUWAUZIA VIWANJA WASANII KIGAMBONI

Special Correspondent6 years ago76 Views



 Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigamboni Rahel Mhando akitoa nasaha zake kwa wasanii na wanachama wa Uzalendo kwanza walifika katika hafla ya chakula cha pamoja kwa ajili ya kusaini mkataba wa ununuzi wa Viwanja katika Wilaya ya Kigambani kupitia kampuni ya Kc Developing Plan.

Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere akizungumza kabala ya kusaini maktaba na kampuni ya Uuzaji Ardhi ya Kc Development
 Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi akizungumza na Wasanii kabla ya kusaini makataba wa mauziano ya Viwanja.
 Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi na Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere wakisaini Mkataba wa muziano ya Viwanja na wasanii katika eneo la kigamboni
  Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi na Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere wakibadilishana Mkataba.

Katibu wa Uzalendo Kwanza , Kulwa Kikumba maarufu kama Dude akitoa neno la Shukrani kwa Wasanii
 Wasanii wa Filamu ambao ni wanachama wa kundi la Uzalendo kwanza wakfatilia
 Wasanii wakifatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2V4aKOr
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.