IRINE UWOYA AULIZWA MASWALI MAGUMU NA YENYE UTATA KIKAANGONI LIVE, HEBU SOMA HAYA 10 TU

11 years ago139 Views






Muigizaji wa filamu Irene Uwoya jana alikuwa kwenye Kikaango cha EATV/EA
Radio ambapo mashabiki huwauliza mastaa maswali kupitia Facebook.

Hata hivyo, sio maswali yote yalikuwa ya maana. Haya ni maswali 10 ya
kipuuzi au magumu zaidi aliyoulizwa 



*Thomas Muller:* IRENE UWOYA mara ya mwixho kufanya mapenzi LINI?na saa
ngpi? 


*Nelson Mgosi:* Hivi nikweli mkuu wa kaya huko Burundi ndio unampa penzi
na anakuhonga magari. Jibu maswari usiishie kusema mmhh Asante Nop
tunataka majibu 






*Malimba Manoti: * dah!hivi ni kweli ulikuwa hujui kupika ndo maana
ukazinguana na shemu?

*Sosthenes George:* kwanini unapenda kutuonyesha mapaja ukiwa location? 


*Daudi Shabani:* Unajisikiaje kumuiba mume wa mtu(msami)?

*


Ibra Moses Mwaisela:* Irene uwoya kwann umekula hela ya ndikumana
umeona kaishiwa umesepa zako ila malipo dunian kama ulimpendea hela
utapigwa fain hapahapa 


*Hashish Phill: * Mambo dada hivi maisha yako kwenye familia na mapenzi
unayachukuliaje, maake naona kama inaweza kuleta sheda hapo kwenu
kwakubadili wanaume public namna hiyo? 


*
Alifa Rajab: * Eti ni kweli wakati wa tendo la ndoa unapenda kuingiliwa
kinyume na maumbile na ndo chanzo cha h baba kuachana na wewe? 


*
Charlles Citty HDee:* ivi irene kwann unamtesa mumeo ndikumana namna
hyo? mtu anakupenda ivo alafu unamtenda kiasi hcho?,kwann ulikubal
kuolewa mapema kama ulkuwa unajua kwamba ndoa hutoiweza?,alafu n kwel et
unatembea na msami? 



 *Ally Rajabu:* nataka nijue km leo umekunya kweli km hujanya kaa kimya!


0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.