IGP SIRRO MAKUNDI MATATU YATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WAKATI WA UCHAGUZI

5 years ago102 Views

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewataka wananchi, wanasiasa na vyombo vya ulinzi na usalama kutimiza wajibu wao tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu kulingana na sheria, kanuni na taratibu kwa kutojiingiza kwenye uhalifu.
IGP Sirro amesema hayo leo jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Maofisa Wakuu Waandamizi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Vikosi, kikao ambacho kimelenga kufanya tathimini ya hali ya uhalifu nchini na kuzungumzia suala la uchaguzi mkuu na kuweka mikakati ya kuhakikisha unakuwa wa amani na utulivu.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.