Leo 28/6/2028 Mbunge wa Ukonga anayemaliza Muda wake Mhe.Jerry William Silaa amechukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo hilo kwa kipindi cha Pili.
Leo 28/6/2028 Mbunge wa Ukonga anayemaliza Muda wake Mhe.Jerry William Silaa amechukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo hilo kwa kipindi cha Pili.






