Daniel Chongolo na Sanga wateuliwa na CCM Makambako

Masama BlogSIASAKITAIFA9 months ago237 Views

Daniel Chongolo na Sanga wateuliwa na CCM Makambako

Kamati kuu ya ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Taifa imewateua Wagombea Wiwili (2)Ndugu Deo Sanga na Ndugu Daniel Chongolo kugombea Ubunge jimbo la Makambako Mkoani Njombe.

Akisoma majina ya Wagombea wa majimbo ya Uchaguzi nchi nzima Katibu wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg.Amos Makalla ametaja Majina hayo leo July 29,2025.

Masama Blog Tunawatakia Kila Heri wateule wote hawa Ndugu Sanga na Ndugu Chongolo katika kuomba ridhaa ya wana Makambako kuwa Mbunge wao.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.