Breaking News: Rais Samia Afanya Uteuzi wa Mabalozi Wapya Hawa Hapa

2 years ago118 Views


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi James Gilawa Bwana kuwa Mwakilishi wa Tanzania nchini Afrika kusini.

Taarifa kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu imesema Balozi Bwana anachukua nafasi Balozi Meja Jenerali Gaudence Salim Milanzi ambaye amestaafu.

Lakimi pia amemteua Balozi Said Hussein Massoro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, akichukiua nafasi ya Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhra Yunus, aliyoitoa leo Novemba 9, 2023, huku akisema uteuzi huo unaanza mara moja.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.