LIVERPOOL FC watakipiga na TOTTENHAM pale kwenye uwanja wa Estadio Metropolitan tarehe 1 Juni 2019 kwenye fainali ya Champions League.
Wakenya wawili, DIVOCK ORIGI wa LIVERPOOL na VICTOR WANYAMA wa TOTTENHAM wanatarajiwa kushuka dimbani siku hiyo.
JALUO ORIGI baba yake ni JALUO la Kenya likiitwa MIKE OKOTH ambalo pia lilikuwa chezaji hodari hadi kuchezea Harambee stars na baadae lilisepa na kuhamia Ubelgiji. ORIGI alitupia kambani mabao 2 kati ya 4 ya WATAALAM LIVERPOOL FC dhidi ya WACHOVU Barcelona.
JALUO WANYAMA ambalo ni kapteni wa Harambee stars lilitoa msaada mkubwa kwa TOTTENHAM dimba la kati hadi kuifurumusha AJAX.
Kwa kuweza kuingia fainali za Champions Lg, MAJALUO haya mawili yamefuata nyayo za JALUO mwenzao MACDONALD MARIGA aliyeingia fainali akichezea INTER MILAN ya Italy ambayo ilitwaa ndoo ya CL mwaka 2010 ilipokuwa ikifundishwa na JOSE MOURINHO.
It is an all Kenyan affair in the CL Final!!
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2Hds9jZ
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







