MAJALUO MAWILI KUCHEZA CHAMPIONS LEAGUE!!!:

7 years ago137 Views

LIVERPOOL FC watakipiga na TOTTENHAM pale kwenye uwanja wa Estadio Metropolitan tarehe 1 Juni 2019 kwenye fainali ya Champions League.

Wakenya wawili, DIVOCK ORIGI wa LIVERPOOL na VICTOR WANYAMA wa TOTTENHAM wanatarajiwa kushuka dimbani siku hiyo.

JALUO ORIGI baba yake ni JALUO la Kenya likiitwa MIKE OKOTH ambalo pia lilikuwa chezaji hodari hadi kuchezea Harambee stars  na baadae lilisepa na kuhamia Ubelgiji. ORIGI alitupia kambani mabao 2 kati ya 4 ya WATAALAM LIVERPOOL FC dhidi ya WACHOVU Barcelona.

JALUO WANYAMA ambalo ni kapteni wa Harambee stars lilitoa msaada mkubwa kwa TOTTENHAM dimba la kati hadi kuifurumusha AJAX.

Kwa kuweza kuingia fainali za Champions Lg, MAJALUO haya mawili yamefuata nyayo za JALUO mwenzao MACDONALD MARIGA aliyeingia fainali akichezea INTER MILAN ya Italy ambayo ilitwaa ndoo ya CL mwaka 2010 ilipokuwa ikifundishwa na JOSE MOURINHO.

It is an all Kenyan affair in the CL Final!!

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2Hds9jZ
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.