MWANAMUZIKI AY AYAPA KISOGO MAPENZI, AAMUA KUWA SINGLE BOY..’SASA NI MWAKA MZIMA UMEPITA BILA…..’

Admin Updates10 years ago4 Views



AY ameamua kujipa mapumziko marefu ya kutokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Rapper huyo alikiambia kipindi cha Mlimanidotcom cha Mlimani TV kuwa ana
mwaka mmoja na nusu sasa bila kuwa kwenye uhusiano wowote.

“Sasa hivi nimeingia kwenye break karibia mwaka mmoja na nusu,” alisema AY.

“Kila mtu ana uamuzi wake na kila mtu ana mipango yake katika maisha
so kwa upande wangu nimeona nifocus sana kwenye kazi na ndio maana
mnaona matokeo ya kazi inavyofanyika. Sometimes vitu kama hivyo
vinakusogeza mbele, sometimes inaweza ikakudiscourage uwaka slow katika
kazi zako. Ikitokea imetokea ila sasa hivi nipo kama baiskeli.”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.