TUTAWEKA UMEME VIJIJI VYOTE VYA TANZANIA NDANI YA MIAKA MIWILI..AFUNGUKA SAMIA SULUHU WA CCM

Admin Updates9 years ago8 Views

Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Kilindi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni Mkoa wa Tanga. Miongoni mwa ahadi aliyoitoa kwa wanaKilindi ni kulishughulikia suala la upatikanaji wa huduma za maji safi na salama pamoja na ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka katika Wilaya hiyo.

Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kijiji cha Kwediboma wakiwa wamesimamisha msafara wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan kuwasikiliza kilio chao alipokuwa akisafiri kuelekea Wilaya ya Kiteto. Baadhi ya ahadi aliyoitoa Bi. Samia ni pamoja na upimaji wa ardhi ya vijiji na wilaya ili kumaliza migogoro ya ardhi kwa wafugaji na wakulima. 
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga akizungumza na wanaCCM na wananchi katika mkutano mdogo wa kampeni wa mgombea mwenza wa nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Kilindi, Tanga.
Kutoka kulia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Kilindi, Mboni Muhita akiserebuka na baadhi ya viongozi na makada wa CCM walioongozana kwenye kampeni za mgombea mwenza Wilaya ya Kilindi.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.