WEMA SEPETU AELEZA KWANINI HAMPENDI TENA DIAMOND NA KWANINI ZARI HAMTISHI KWENYE FASHION

10 years ago150 Views


Wema Sepetu hampendi tena Diamond Platnumz na anasema kila anapoukumbua
uhusiano wao, anakumbuka mambo mabaya zaidi kuliko mazuri.

“Hapana simpendi [Diamond], yalishaisha hayo, nilishampendega, niliwahi kumpenda sana, lakini hamna tena, yaani hata sishtuki,” Wema alikiambia kipindi kifupi cha Kabali cha EFM.

“Nikimkumbuka Diamond most of the things ambavyo ninavikumbuka sio
vitu vizuri na ndio maana hata sasa hivi imekuwa hivyo. Vizuri
vilikuwepo lakini mtu anaweza akafanya vizuri akaja kufanya kimoja tu
kibaya na akaharibu vyote tisa,” aliongeza.

Katika hatua nyingine Wema alisema Zari the Bosslady hamtishi katika sekta ya fashion.

“[Zari] hanitishi kwasababu yeye ana taste yake, mimi nina taste
yangu, yeye ni Zari mimi ni Wema,” amesema muigizaji huyo. “I got my
own, I like to play along with anything and she got her own.”

Udaku Special Blog

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.