Vodacom Tanzania Plc yashiriki maadhimisho ya Miaka 10 ya UCSAF

Special Correspondent6 years ago5 Views

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti cha ushiriki Mkuu wa mauzo wa Kanda ya Kati wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Bi Grace Chambua wakati wa maadhimisho ya miaka 10 ya UCSAF jijini Dodoma mapema wiki hii. Maadhimisho ya mfuko huo wa mawasiliano kwa wote yameadhimishwa na kauli mbiu ikiwa ni “Mawasiliano kwa wote ni kichocheo cha kuufikia uchumi wa kati.

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2DQIXv1
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...