MSANII SHAMSA: SIJUTII KUACHANA NA MUME WANGU..MSIKIE ZAIDI HAPA

Admin Updates10 years ago4 Views

Shamsa: Sijutii Kuachana na Mume Wangu



 Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Shamsa Ford amesema kamwe hatajutia kitendo cha kuachana na  mumewe, Dickson.


Akiongea
na gazeti la Amani Shamsa alisema kuwa kipindi chote  wakati yupo
kwenye uhusiano na mumewe huyo waliefunga naye ndo ya kimilia alikuwa
akiteseka  na kupata shuruba nyingi japo hakuwa tayari kuziweka
hadharani.

“Sijutii kuachana na mume wangu, nimepitia mateso mengi, sikotayari kurudi japokuwa nina motto naye” Shamsa alisema.

Kwa
sasa inadaiwa Shamsa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego
ambaye  naye aliachana na mchumba wake ,Siwema hivi karubuni.


Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.