Ni miaka 13 tangu utuache mama, na hatujapata mbadala! Hakika Mama Hana mbadala!
We miss you so much ucheshi, Upendo, hekima, busara zako Bado zinazunguka fikara zetu.
Mama hatuishi kukutaja Kila iitwayo Leo. Hata nieleze kwa maneno yote haitoshi kukuelezea Mama, Mungu akupumzishe mahali pema peponi!!
Daima uko mioyoni mwetu tulikupenda na hata Sasa tunakupenda Mama.
Peter, Petty na Angela Msechu
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2H1Se5r
via