

Diamond
Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss
Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika
Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana.
za wawili hao wakiwa nje ya hoteli ya Double Tree jijini Dar
zinawaonesha wakifurahia muda wa faragha pamoja kama wapenzi vile.
yanayozunguka kwenye vichwa vya wengi ni je wawili hao ni item tayari
au ni movie inaendelea kama apendavyo kusema hitmaker huyo wa Number 1?
“Don’t
live your life enslaved by guilt. You must do what is right for you,
even if other ppl have a problem with it. #Diamonds #MummyFabulousSelf.”
Wengi walihitimisha kuwa amemaanisha bae wake huyo mpya na hivyo kumlazimu kufafanua: “For fucks sake I meant #Diamonds as in my stones ��������… Y’all african people be tripping #IdleMinds.”
kila la kheri @diamondplatnumz follow what your heart say n you have
to live your life wish you all the best with your new bae if it is true
@zarithebosslady,”ameandika mtu mmoja.