Mwigizaji/MwimbajiHemedy PHD ni miongoni mwa mastaa wa Tanzania ambao hutumia sehemu ya
muda wao pia kuandika kwenye mitandao ya kijamii yake ya moyoni ama
kuwafikishia taarifa mashabiki wake.
November 10 2014 Hemedy aliandika tweet ikisema >>> ‘Mtu anasema hategemei kufanya collabo na msanii wa bongo ikiwa ngoma zake zote kabebwa na collabo, fikiri kabla ya kuzungumza‘
Hemedy ameandika tweet hii siku kadhaa baada ya msanii Shetta kusema kwa sasa hafikirii kufanya collabo na Wasanii wa Tanzania bali anafanya mpango wa kujipenyeza kimataifa zaidi akisema ‘nimefanya
collabo nyingi na Wasanii wa Tanzania ndio maana siko tayari kufanya
tena hivyo nikawa nawaza mawili, nifanye collabo na msanii wa kimataifa
au kutoa wimbo peke yangu?
collabo nyingi na Wasanii wa Tanzania ndio maana siko tayari kufanya
tena hivyo nikawa nawaza mawili, nifanye collabo na msanii wa kimataifa
au kutoa wimbo peke yangu?
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





