Halima Bulembo,Jesca Magufuli na wengine wanne wachaguliwa UBUNGE Viti Maalum UVCCM
Msimamizi wa uchaguzi wa Viti Maalum kupitia kundi la UVCCM Bara na Zanzibar watakaowakilisha Vijana kwenye Bunge la Tanzania, leo asubuhi ya August 2 2025, ametangaza matokeo ya kura zilizopigwa usiku wa kuamkia leo ambapo kwa Tanzania Bara wamepatikana Wagombea sita.
- NG’WASI KAMANI – KURA 409
- JESCA MAGUFULI – KURA 391
- HALIMA BULEMBO – KURA 320
- LULU MWACHA – KURA 316
- JULIANA MASABURI – KURA 282
- TIMIDA MPOKI – KURA 280.
Jumla ya Wagombea walikuwa ni 48 (Tanzania Bara 31 na Zanzibar 17) na Wagombea hao 10 (sita wa Bara na wanne wa Zanzibar ) ndio walioshinda baada ya kupata kura za juu zaidi kuliko wengine ambapo kwa upande wa kura zilizopigwa Tanzania Bara jumla ni kura 2466 (Kura zilizoharibika ni 12 na kura halali 2454), na Zanzibar zimepigwa kura 1652 (zimeharibika kura 8 na kura halali 1644)
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






