Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa awasihi wafungwa 73 waliohitimu mafunzo ya ufundi standi kutoka magereza mbalimbali nchini kuutumia ujuzi walioupata kwenye mafunzo hayo uweze kuwanufaisha kiuchumi muda ambao adbabu zao zitakapomalizika. Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe, Malisa amesema lengo la Serikali chini ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni kuwapa ujuzi wafungwa kubadilisha maisha yao na kuisambaza elimu walioipata kwa wafungwa wengine na kuwakumbusha kuzitumia vizuri Halmashauri kuhakikisha kuwa moja ya kundi linalopata fursa ni pamoja na kundi hilo.
Aidha Mhe. Malisa ameishukuru Serikali kwa kuhakikisha inarasimisha fani mbalimbali ambazo zimetoka katika taaasisi zisizo rasmi na kuzirasimisha ili kwenda kwenye soko la ajira na kwenda kujiajiri.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






