DC Beno Malisa atoa ushauri huu muhimu kwa wafungwa waliotoka magerezani

Masama BlogKITAIFASIASAMATUKIO7 months ago261 Views

Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa awasihi wafungwa 73 waliohitimu mafunzo ya ufundi standi kutoka magereza mbalimbali nchini kuutumia ujuzi walioupata kwenye mafunzo hayo uweze kuwanufaisha kiuchumi muda ambao adbabu zao zitakapomalizika. Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe, Malisa amesema lengo la Serikali chini ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni kuwapa ujuzi wafungwa kubadilisha maisha yao na kuisambaza elimu walioipata kwa wafungwa wengine na kuwakumbusha kuzitumia vizuri Halmashauri kuhakikisha kuwa moja ya kundi linalopata fursa ni pamoja na kundi hilo.

Aidha Mhe. Malisa ameishukuru Serikali kwa kuhakikisha inarasimisha fani mbalimbali ambazo zimetoka katika taaasisi zisizo rasmi na kuzirasimisha ili kwenda kwenye soko la ajira na kwenda kujiajiri.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.