Mtoto wa Lowassa Aibuka Kidedea Kura za Maoni CCM Jimbo la Monduli

Special Correspondent4 years ago14 Views

Mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu Lowassa, Fredrick Lowassa leo July 21,2020, ameongoza kura za maoni katika Jimbo la Monduli mkoani Arusha baada ya kupata kura 244

Katika nafasi ya pili yupo Julius Kalanga aliyepata kura 162 huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na Wilson Lengima aliyepata kura 149.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...