DUUUH!: BABY MADAHA ATILIA SHAKA AFYA YA ‘MKONGO WA WOLPER’..AFUNGUKA MENGI…ANGALIA HAPA

Admin Updates10 years ago5 Views


Msanii wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha
Stori: MAYASA MARIWATA
Msanii
wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha amesema ana wasiwasi na afya ya
mwanaume Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi
wa Jacqueline Wolper.



Akizungumza na
Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha alisema, hofu yake hiyo inatokana na
namna mwanaume huyo anavyotapanya pesa huku akitangaza dau kubwa ili
kuwapata mastaa wa kike.


Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi wa Jacqueline Wolper.

“Kimsingi
mimi nina wasiwasi na afya yake, asije akawa anataka kutumaliza. Mimi
simhitaji hata kama ana mamilioni yake. Hofu yangu ni hii tabia yake ya
kutaka kutupitia sisi mastaa, wanaokubali kuwa naye eti kisa ana mkwanja
nawaonea huruma,” alisema Baby Madaha

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.