MAMA YANGU…DUUH…MSANII JACKLINE WOLPER AFUNGUKA,ASEMA ANAPENDA SANA KUCHEZEA HII KITU HAPA!!!!

Admin Updates10 years ago6 Views

Hakuna
anaeweza kupinga kuwa mrembo na moja kati ya waigizaji pendwa wa kike
hapa bongo, Jackline Masawe “Wolper”ni miongoni mwamastaa wa kike
wachache ambao wanapenda kubadilisha mitindo ya nywele zao mara kwa
mara. 

Kwa wanaomfuatilia mitandaoni watakubali kuwa haiwezi ikapita wiki bila mwanadada huyu kuonekana na “style” mpya ya nywele.
Hatimaye
leo akiwa katika mtindo mpya (picha hapo juu) wa nywele, wolper
alifunguka na kusema kuwa yeye anapenda kuchezea kichwa chake na
kuwaonya watu wasimuige kwani yeye yupo tayari kwachangamoto atakazo
zipata uzeeni.

“Me napendaga tuu kukichezea hiki kichwa changu jamani
nando furaha yangu ..sasa we jipenicshe na kichwa changu wakati me
sijali ila nasikitika tuu uzeeni kma Mungu akiniweka weka hayo maumivu
yake yakichwa na ubongo”. Wolper alimaliza.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.