WAONE HAWA WANAWAKE MASTAA WA BONGO WAKI-SHOOT VIDEO YA “SIMAMA NAMI”

Admin Updates10 years ago6 Views









Hizi ni baadhi ya picha za baadhi ya wanawake mastaa wa hapa bongo
wakiwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wao unaokwenda kwa jina la
Simama Nami ambao wameuimba maalumu kwa ajili ya kukemea mauaji ya
walemavu wa ngozi ‘Albinos’. Baadhi ya mastaa hao, ni pamoja na Kajala,
Shilole,Nisha, Madam Rita, Dida Shaibu, Sauda Mwilima, Anna Peter,
shamsa Ford, Keisha na wengine wengi
“Simama nami piga vita wauwaji wa maalbino pamoja tunaweza”

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.