SIKILIZA JINSI MAPENZI YALIVYOMTESA MSICHANA WA KITANZANIA KUTOKA KWA RAIA HUYU WA CANADA.

Admin Updates9 years ago6 Views


Ni stori ya kusikitisha ambayo ukiisikiliza moja kwa moja ndipo unaelewa,kifupi ni kwamba dada yetu wa kitanzania alikua na mahusiano ya kimapenzi na mvulana raia wa Canada,ambayo kwa maelezo ya dada yetu walionana kwenye fukwe(beach)kisha wakapendana na kuamua kuishi pamoja.

Kulingana na maelezo ya dada huyu baada ya jamaa kuonekana kama kumchoka aliamua kumfanya kama msichana wa kazi lakini pamoja na kumfanya kama msichana wa kazi,hata malipo hakuwa anamlipa.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.