Inasemekana Max Nzengeli Alikataliwa na Simba Kisa hiki hapa

1 year ago118 Views

Kwa mujibu wa ripoti kutoka ndani ya klabu ya Simba zinaeleza kuwa, viongozi wa klabu hiyo walimkataa Maxi Mpia Nzengeli kutokana na mwonekano wake ulivyo.

Viongozi waliompokea kwa mara ya kwanza hawakupendezwa na namna anavyoonekana wakiamini mchezaji wa maana hawezi kuwa na mwonekano kama wake.
Kwa mujibu wa ripoti inaeleza kuwa viongozi hao walihitaji mchezaji mwenye mwonekano kama Willy Essomba Onana.

Edgar Kibwana 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.