RAIS DKT MAGUFULI AHUTUBIA TAIFA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI) JIJINI MBEYA

6 years ago96 Views

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama na viongozi wa Wafanyakazi wakishuhudia maandamano ya wafanyakazi wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo Jumatano Mei 1. 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama na viongozi wa Wafanyakazi wakishikana mikono na kuimba wimbo wa MSHIKAMANO (Solidarity Forever) wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo Jumatano Mei 1. 2019
 Muonekano wa Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia Taifa wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi leo Jumatano Mei 1. 2019
 PICHA NA IKULU

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2J9gtzZ
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.