JE Wajua,? Kumbe ni Asilimia 7 tu ya Nyoka Ndio Wana Sumu Inayoweza Kuua Binadamu

Admin Updates4 months ago11 Views

 

Duniani kuna zaidi ya aina 3,000 ya Nyoka zilizogundulika hadi sasa. Katika aina hizo ni 600 tu ndio wenye sumu

Katika nyoka wenye sumu, ni aina 200 sawa na 7% ndio wana sumu ya kuweza kumuua binadamu

Nyoka wengine huonekana nchi kavu, lakini 70% katika aina za nyoka waliopo wanapatikana kwenye maji, hasa Bahari ya Hindi na Pacific

Kuna aina tano za nyoka ambao wanaweza kupaa. Kwa mujibu wa ICUN Red list, kuna aina mia za nyoka ambao wako hatarini kutoweka katika uso wa dunia

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...